October 2, 2012


KUOMBA RADHI WILAYA YA KAHAMA

TANESCO inawaomba radhi wateja wake wa Wilaya ya Kahama kutokana na kukosa umeme kwa sababu ya matengenezo yanayofanywa katika njia ya umeme ya Wilaya hiyo ili kuboresha upatikanaji wa umeme.

Umeme umekatika saa 3:00 asubuhi na utarejea saa 10:00 jioni.

Uongozi unawaomba radhi wateja wote kutokana na usumbufu wanaoupata.

Imetolewa na;
OFISI YA MAWASILIANO
TANESCO MAKAO MAKUU

No comments:

Post a Comment