June 26, 2015

TAARIFA

         TAARIFA KWA UMMA KUHUSU MATUMIZI MABAYA YA MITANDAO YA KIJAMII

Shirika la umeme Tanzania (TANESCO)linapenda kutoa taarifa kwa umma kuwa kuna watu wanatumia jina la TANESCO vibaya katika mitandao ya kijamii (facebook na twitter)kujibu watu matusi,kulikashifu shirika na kutoa maelezo yasiyo sahihi kuhusu shirika kwa kujifanya wao ni TANESCO.

Shirika limeshatoa taarifa Mamlaka ya udhibiti wa Mawasiliano Tanzania (TCRA) na kuwasiliana na vyombo vingine vya usalama juu ya uhujumu huo.Mitandao hiyo ina akaunti za facebook zinasomeka (TANESCO TZ  na TANESCO)na akaunti za twitter zinasomeka (Tanesco@TANESCO-,Tanesco Escober@tanescobar,TANESCO LTD@tanesco-)

Tanesco inaendelea kuzikana akaunti hizo na kwamba chochote kinachoandikwa huko si msimamo au maelezo kutoka shirika la Umeme Tanzania (TANESCO).Mitandao sahii ya TANESCO ni :
Facebook:www.facebook.com/tanescoyetu.
Twitter:www.twitter.com/@tanescoyetu

Uongozi unaomba radhi wateja wake kwa usumbufu wowote walioupata kutokana na upotoshwaji wa taarifa kwanye mitandao hiyo.

Imetolewa na Ofisi ya Uhusiano,
TANESCO MAKAO MAKUU

June 15, 2015

KATIZO LA UMEME MKOA WA KINONDONI KUSINI

Shirika la umeme Tanzania Tanesco linawataarifu wateja wake wa Mkoa wa Kinondoni Kusini kuwa imetokea hitilafu ya umeme kwenye kituo kidogo cha kupoozea na kusambaza umeme cha Magomeni leo juni 15,2015 jioni hii.
Mafundi wanafanya patrol kuchunguza tatizo ni nini.

Maeneo yatakayokosa umeme ni Magomeni yote, Kigogo, Ubungo plaza, Mlimani City na baadhi ya maeneo ya UDSM, TCRA na Law School.

Uongozi unaomba radhi kwa usumbufu wowote utakao jitokeza.
Imetolewa na Ofisi ya Uhusiano
TANESCO Makao Makuu.

June 11, 2015

TAARIFA



SHIRIKA LA UMEME TANZANIA (TANESCO)

TAARIFA YA KWA WATUMIAJI WA UMEME

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linatoa taarifa kwa wateja wake kwamba Kampuni ya Pan African Energy (T) Ltd inayoendesha visima vya gesi Songosongo imezima baadhi ya mitambo yake kwa sababu ya hitilafu kwenye mfumo wa gesi.

Wakati kazi ya matengenezo ya kurekebisha hitilafu hiyo ikiendelea, kunaweza kujitokeza usumbufu kwa baadhi ya wateja hadi kazi hiyo itakapokamilika.

Kwa taarifa zilizotolewa na Kampuni ya Pan African Energy (T) Ltd, kazi hiyo inatarajiwa kukamilika jioni ya leo.

Uongozi unaomba radhi kwa usumbufu wowote utakaojitokeza.


Imetolewa na:   Ofisi ya Uhusiano,
TANESCO MAKAO MAKUU 


EMPLOYMENT OPPORTUNITIES

TANZANIA ELECTRICAL SUPPLY COMPANY LIMITED


 

                                           EMPLOYMENT OPPORTUNITIES

INTERNAL AND EXTERNAL ADVERTISEMENT

Background – TANESCO               http://www.tanesco.co.tz


The Tanzania Electric Supply Company (TANESCO) is focusing on increasing the outreach and service quality of its Energy products for Tanzania people.  Next to its current passion as a leading provider of electricity is to be more efficient customer focused utility for Tanzania and beyond. The Company has the largest electricity generation, transmission and distribution network in Tanzania. In order to reach its goals, the Company will, in the coming years invest heavily in its generation, transmission and distribution network, its business systems and human capital.  TANESCO now invites applicants from serious, self-motivated, and honest, hardworking and committed individuals to fill the under-mentioned vacant posts at Mtera Hydro Power Plant.
              

  1. ARTISAN –  FITTER AND TURNER  (1POST)


REPORTS TO:  MECHANICAL TECHNICIAN - MTERA

POSITION OBJECTIVE  
Responsible for maintenance of plant machinery by attending all plant equipment to ensure smooth running of all plant machinery at the station by adhering to Plant preventive maintenance schedule.

Specific Duties and Responsibilities

·         Repair all plant machinery under the directives from the mechanical Technician.
·         Fabrication of all metal equipment and tools required for effective machinery operations.
·         Report to the Mechanical Technician any defects on the plant machinery for the purpose of securing the components, spares and accessories necessary for accomplishment of daily duties.
·         Execute all daily works as schedule and report all accomplished works to the mechanical Technician.
·         Ensure industrial and workshop safety regulation

Key Knowledge, Experience and Skills you must posses
  • Form IV  Secondary Certificate
  • Holder a certificate in machinery fitting from VETA or any recognized institution.
  • Minimum of 2 years of related experience  
  • Computer knowledge is preferable


              ARTISAN –  DAM ATTENDANT (1POST)

REPORTS TO:  CIVIL TECHNICIAN - MTERA

POSITION OBJECTIVE
To maintain Dam Area cleanliness, Leakage measurement in the dam body and other civil works at the station.

Specific Duties and Responsibilities
  • Leakage measurement from the dam
  • Visual inspection of the dam body in order to recognize any defect
  • To clean the dam site area including upper and downstream side.
  • To assist in the civil works particularly mason and plumbing under the directives of civil Technician.
  • Report to Civil Technician/Supervisor any defects at the dam site for the purpose of detecting early condition of the dam to allow time to properly evaluate the on-going safety of the dam and to take corrective action
    Key Knowledge, Experience and Skills you must posses
    • Form IV  Secondary Certificate
    • Holder a certificate in Civil works from VETA or any recognized institution.
    • Minimum of 2 years of related experience 
    • Computer knowledge is preferable

    SELF-MANAGEMENT AND PERSONAL TRAITS FOR ALL MENTIONED POSTS
    • Must be Self-motivated.
    • Excellent communication skills.
    • Must be Creative, innovative and team working skills.
    • Demonstrates highest degree  of integrity
    • Possess excellent interpersonal skills.

    REMUNERATION
    An attractive compensation package base on performance and consummate with the experience and skills will be offered to the successful candidates.

    HOW TO APPLY
    If you are interested in the position, apply by sending a detailed written application letter, clearly stating why you should be considered for the position and how you will add value. With the letter, detailed curriculum vitae (CV) should be enclosed with all relevant certificates including three (3) referees. Electronic applications are accepted.

    Applications should reach the undersigned not later than 14 days after initial appearance of this advert.

    PLANT MANAGER,
    MTERA HYDRO POWER PLANT,
    P. O BOX 1
    MTERA, DODOMA

    Application closing date: 23rd June 2015