February 28, 2014

KATIZO LA UMEME – MKOA WA ILALA NA TEMEKE



Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linawataarifu wateja wake wa Mkoa wa Ilala  na Temeke kuwa kutakuwa na katizo la umeme kama ifuatavyo:-

MKOA WA ILALA:-

TAREHE:   Jumapili, 02 Machi, 2014

MUDA:       Saa 03:00 asubuhi hadi12:00 jioni          .  
                                               
SABABU:  Kufanya Matengenezo Kwenye Vifaa vya Kudhibiti Umeme Kwenye Njia za
        Umeme za Msongo Mkubwa wa ‘33kV Breakers’ za Industrial na UB0
        Feeders.

MAENEO YATAKAYOATHIRIKA:
Julius Nyerere International Airport, TAZARA, baadhi ya Viwanda vilivyoko Barabara ya  Nyerere na baadhi ya maeneo yaliyoko kandokando ya  Barabara ya Mandela. Maeneo mengine ni; Tabata, Liwiti, Kimanga, Kisukuru, Makoka, Tabata Kisiwani, Tabata Shule, Bima, Aroma na maeneo yanayozunguka.

MKOA WA TEMEKE:-

TAREHE:       Jumapili  02/03/ 2014 

MUDA:            03:00 Asubuhi – 12:00 jioni

SABABU:       Kukata miti kwenye laini ya umeme.

MAENEO YATAKAYOATHIRIKA:
Maeneo yote ya Navy, Mwalimu Nyerere, Ferry, Mikadi beach, Magogoni, Tungi na maeneo yanayozunguka.

Tafadhali usishike wala kukaribia waya wa umeme uliokatika, toa taarifa kupitia namba zifuatazo: Dawati la dharura Mkoa wa Ilala 0715768586, 0715768587, 0684001066, 0680001068.   Dawati la dharura Mkoa wa Temeke 0222138352, 0732 997361, 0712 052720, au Kituo cha miito ya simu 022 2194400 /0768 985 100

Uongozi unasikitika Kwa usumbufu wowote utakaojitokeza.



Imetolewana:             OFISI YA UHUSIANO,
                                    TANESCO – MAKAO MAKUU.

February 26, 2014

Katizo la umeme mkoa wa Kinondoni Kaskazini



Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linawataarifu wateja wake wa Mkoa wa Kinondoni Kaskazini  kuwa kutakuwa na katizo la umeme kama ifuatavyo:-

TAREHE:      28/02/2014

MUDA:           3 Asubuhi – 11 Jioni

SABABU:      Kukata miti,kubadilisha Nguzo zilizooza na Matengenezo mengine

MAENEO YATAKAYOATHIRIKA:
Goba, baadhi ya maeneo ya salasala, Wazo kwa Makamba, Wazo mji mpya, wazo sec, Mivumoni, Madale, Madale scourt na maeneo yanayozunguka.

Tafadhali usishike waya uliokatika, toa taarifa kupitia simu zifuatazo  022 2700367, 0784 768584,  0716 768584 Au Call centre namba 2194400.

Uongozi unasikitika kwa usumbufu wowote utakaojitokeza


Imetolewa na:          OFISI YA UHUSIANO,
TANESCO - MAKAO MAKUU.

February 25, 2014

Katizo la umeme mkoa wa Kinondoni Kaskazini



Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linawataarifu wateja wake wa Mkoa wa Kinondoni Kaskazini  kuwa kutakuwa na katizo la umeme kama ifuatavyo:-

TAREHE:
SABABU: 
MAENEO YATAKAYOATHIRIKA 
Alhamisi
27,Februay,2014
3 Asubuhi-11 Jioni
Kukata miti,kubadilisha Nguzo zilizooza na Matengenezo mengine
ITV na Radio One, Tan pack tissues, Mwenge Kijijini, Bamaga, Chuo cha Ustawi wa Jamii, Hongera bar, Tume ya Sayansi, Polisi Mabatini, Flats za Chuo cha Ustawi wa Jamii, Afrika sana, TRA Mwenge, Shule ya Msingi Mapambano, Flats za Chuo Kikuu cha Dar es salaam, mtaa wa Meeda bar, eneo la Blue bird, flats za Jeshi, Mwenge, Hospitali ya Mama Ngoma, TBC flats, mtaa wa Ikangaa, BOT flats, eneo la Kijitonyama kwa Mwarabu.


Tafadhali usishike waya uliokatika, toa taarifa kupitia simu zifuatazo  022 2700367, 0784 768584,  0716 768584 Au Call centre namba 2194400.

Uongozi unasikitika kwa usumbufu wowote utakaojitokeza


Imetolewa na:            OFISI YA UHUSIANO,
                                    TANESCO-MAKAO MAKUU.

KATIZO LA UMEME – MKOA WA ILALA



Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linawataarifu wateja wake wa Mkoa wa Ilala  kuwa kutakuwa na katizo la umeme kama ifuatavyo:-

TAREHE:      Alhamisi, 27 Februari, 2014.      
 
MUDA:          Saa 4:00 Asubuhi hadi 8:00 Mchana.  
                                                 
SABABU:   Kujenga Transfoma Mbili mpya Katika Maeneo ya Ubena na Gongo la     Mboto

MAENEO YATAKAYOATHIRIKA:
Stakishari, Ukonga sabasaba, Mombasa, Gongo la mboto, Kampala University, Namera group of industries, Moshi bar area, Ulongoni, Mongo la ndege, Pugu, Kichangani, Baadhi ya maeneo ya kipunguni B na Kisarawe.

Tafadhali usiguse waya wowote uliokatika, toa taarifa TANESCO kupitia namba za simu zifuatazo:- 2138352, 0732997361; 0712052720; 0758880155; 0784 768581 au namba za huduma kwa wateja 2194400 OR 0786985100
         

Imetolewa na:          OFISI YA UHUSIANO,
                                    TANESCO – MAKAO MAKUU.

February 21, 2014

TANESCO yapokea magari ya kisasa

Na Queen Mwashinga - DSM

     Shirika la umeme TANESCO hivi karibuni limekabidhiwa magari 14 ya kuendeleza mradi wa usambazaji umeme na Mfuko wa Changamoto za Milenia (MCC) katika Makao Makuu TANESCO, Ubungo jijini Dar Es Salaam yenye thamani ya Dola za Kimarekani mil 3.Akizungumza katika makabidhianoMkurugenzi Mtendaji -TANESCOMhandisi Felschemi Mramba alisema magari hayo yana uwezo wa kumpandisha fundi kufanyakazi kwenye njia ya umeme au nguzo kwa urefu wa mita 13 na nusu, na kuwa matarajio ni kwamba magari hayo yatawawezeshamafundi kufanya kazi kwa ufanisi na kuboresha huduma za wateja kwa wakati.
        Naye Afisa Mtendaji Mkuu wa Mfuko wa Changamoto za Milemia tawi la Tanzania (MCA-T) Bw BernardMchomvu amesema miradi ya MCC kwa sekta ya nishati ni pamoja
na kuboresha miundombinu ya umeme katika mikoa ya Dodoma, Iringa, Kigoma, Mbeya, Morogoro na Mwanza. Kukamilika kwa miradi hii kutasadia upatikanaji wa umeme wa uhakika katika maeneo hayo.
Akizungumza katika hafla hiyo Mkurugenzi Mkuu Mkazi wa serikali
ya Marekani wa MCC Bw Karl Fickenscher ameushukuru uongozi wa TANESCO na MCA-T kwa ushirikianomzuri katika kufanyakazi pamoja na kuboresha miundombinu ili kupunguza adha ya umeme katika maeneo mbalimbali nchini.

KATIZO LA UMEME KINONDONI KUSINI



Shirika la Umeme Tanzania TANESCO linawaarifu wateja wake wa Mkoa wa Kinondoni Kaskazini  kuwa kutakuwa na katizo la umeme kama ifuatavyo:-

TAREHE:
SABABU: 
MAENEO YATAKAYOATHIRIKA 
 Jumanne
25,February,2014
3 Asubuhi-11 Jioni                                                
Kukata miti,kubadilisha Nguzo zilizooza na Matengenezo mengine
Nyumba za serikali Mikocheni,TPDC, Rose Garden, TTCL Kijitonyama,Earth satelite,TCU, Millenium tower,Letisia tower, CRJE,Heko Kijitonyama, Mjimwema, Kijitonyama Ali maua,Kijitonyama Kisiwani,Contena bar,Queen of Sheba area,Bobs motel, Roman Catholic church Kijitonyama,Hoteli za Johannesburg, Wanyama naLion ,Bagamoyo na Bunju yote
Alhamisi
26,Februay,2014
3 Asubuhi-11 Jioni
Kukata miti,kubadilisha Nguzo zilizooza na Matengenezo mengine
Kunduchi yote,Kunduchi Pwani,Chuo cha jeshi Kunduchi,Mbuyuni,MECCO,JKT machimbo,Tegeta darajani,Salasala kwa Mboma,Kilimahewa,Salasala Benaco,RTD Salasala,Salasala Kijijini,Green Acres school,Part of Kilongawima,Mbezi Africana,T-square bar,mbezi Majumba sita,Lugalo Salasala,Kinzudi


Tafadhali usishike waya uliokatika, toa taarifa kupitia simu zifuatazo  022 2700367, 0784 768584,  0716 768584 Au Call centre namba 2194400.

Uongozi unasikitika kwa usumbufu wowote utakaojitokeza

Imetolewa na:            OFISI YA UHUSIANO,

                                                  TANESCO-MAKAO MAKUU.