November 29, 2017

Dkt. Kalemani atembelea Viwanda vya kuzalisha nguzo Mufindi



Waziri wa Nishati Dkt. Medard Kalemani (Pichani Kulia) ametembelea Viwanda vya kuzalisha nguzo vilivyopo Wilaya ya Mufindi Mkoani Iringa.

Lengo la ziara hiyo ni kujiridhisha uwezo wa Viwanda vya ndani katika kuzalisha nguzo, kwani kuna baadhi ya Wakandarasi wa REA ambao bado wanaagiza nguzo kutoka nje licha ya zuio la Serikali.

Aidha, Dkt. Kalemani, aliwataka TANESCO na REA kuwachukulia hatua Wakandarasi wanao agiza nguzo kutoka nje ya nchi kwani Viwanda vya ndani vimeonesha vinauwezo wa kuzalisha nguzo za kutosha.

Akisoma taarifa ya utoaji huduma ya umeme Wilaya ya Mufindi kwa Mhe. Waziri,  Katibu Tawala wa Wilaya hiyo Bw. Allan Benard alisema kitanesco Wilaya inaundwa na Mji wa Mafinga,  Kituo kikubwa cha kupoza umeme cha Mgololo na Ofisi ndogo ya Kijiji cha Kibao.

Aidha,  TANESCO Mufindi inajumla ya Megawati 10 na matumizi ya juu ni Megawati 9.5.

Wilaya inapata umeme kutoka kwa wazalishaji binafsi kwa njia ya maji cha Mwenga Megawati 3.5.

Pia Wilaya ilitekeleza Miradi ya umeme Vijijini Awamu ya pili kwa kujenga njia ya msongo wa kilovolti 33 kutoka Makambako hadi Kwatwanga yenye urefu wa kilometa 89.7,  Mafinga Igomaa kilometa 80,  Nyororo mpaka Mbalamaziwa kilometa 20. na Ifwagi mpaka Mwitikilwa kilimeta 6. Jumla ya Wateja 1476 walinufaika na mradi huu.

Mhe.Waziri alitoa pongezi kwa Wafanyakazi wa TANESCO,  kwa kazi kubwa wanayoifanya kuhakikisha umeme wa uhakika unapatikana.






November 27, 2017

TAARIFA KWA UMMA



Uongozi wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) unawafahamisha Wateja wake 
wote na Wananchi kwa ujumla kuwa;  TANESCO  imeanza utekelezaji wa  Agizo la 
Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Joseph 
Magufuli, kuhusu kubomolewa  kwa Jengo la Ofisi za TANESCO  Makao Makuu,
 liliopo Ubungo Jijini Dar es salam. 
 
Kuanzia Jumatatu Novemba 27, 2017. Ukuta wa mbele ya jengo umesha vunjwa ,  pia  
 baadhi ya Watumishi wa Shirika wameanza kuhamishiwa katika ofisi nyingine za  
TANESCO zilizopo jijini Dar es salaam ili kupisha shughuli za ubomoaji kufanyika kwa
 usalama  zaidi.
 
Uongozi wa Shirika   pamoja na Wakala wa Majengo (TBA) wanaendelea kufanya taratibu 
zitakazo wezesha zoezi la ubomoaji wa Jengo kufanyika bila kuathiri huduma kwa Wateja wa 
Shirika.
 
Katika kipindi hiki cha utekelezaji wa Agizo la Mheshimiwa Rais.
 
 Tunapenda kuwahakikishia Wateja wetu na Watanzania wote kwa ujumla kuwa 
Huduma za Umeme zitaendelea kupatikana kama kawaida ikiwemo huduma ya 
manunuzi ya LUKU. 
Uongozi wa Shirika utaendelea kutoa taarifa kwa kadri zoezi hili linavyo endelea, 
 
 
                         TANESCO ‘‘Tunayaangaza Maisha yako’’ 
 
 
Kwa mawasiliano
Mitandao ya Kijamii



Imetolewa Na:  OFISI YA UHUSIANO
                               TANESCO- MAKAO MAKUU.
                                Novemba 27, 2017

November 21, 2017

Dk. Kalemani atembelea Kiwanda cha kuzalisha nguzo za zege (Concrete poles)


Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Medard Kalemani leo jumanne Novemba 21, 2017 akiwa Mkoani Pwani katika Wilaya ya Bagamoyo ametembelea kiwanda cha kuzalisha nguzo za zege (Concrete poles) cha  East Africa Infrustructure Engineering Ltd. eneo la kidomole, Bagamoyo.

Katika ziara yake Mhe. Waziri amesisitiza agizo lake alilolitoa la kuhakikisha kuwa nguzo zinazotumika zinazalishwa hapa Nchini.

" Nguzo tunazotumia sasa ni za miti ambazo zinaharibu mazingira lakini pia si imara kama nguzo za zege"
Alisisitiza Mhe. Waziri huku akiainisha kuwa nguzo za zege zina uwezo wa kudumu zaidi ya miaka 70.

Aidha, Dkt Kalemani alisema hivi sasa Umeme unaoingia katika gridi ya Taifa ni Megawati 1450 lakini ni nia ya serikali kuwa na Megawati 5000 kufikia 2020.

Alisifu juhudi za TANESCO za kuanzisha kampuni tanzu ya kuzalisha nguzo za zege ya Tanzania Concrete Poles Manufacturing Ltd
(TCPM).

Aliitaja miradi kama ya Stieglers Gorge( Megawati 2000) ambayo imekuja baada ya jitihada kubwa za serikali na kuiagiza TANESCO kuhakikisha kuwa nguzo za zege zinaanza kutumika kufikia mwezi Desemba mwaka huu.

"Kazi yangu ni kuhakikisha Watanzania wanapata umeme wa uhakika"
Alisema Dkt. Kalemani.

Katika ziara yake Mhe. Waziri aliambatana na Wataalamu wa Wizara ya Nishati na Wataalamu wa TANESCO na kupokelewa na Mkuu wa Wilaya ya Bagamoyo Mhe. Alhaj  Majid Mwanga na Mbunge wa Bagamoyo Mhe. Shukuru Kawambwa ambao walishukuru ujio wa Waziri kwani wametaja eneo la Bagamoyo kama eneo kubwa la viwanda ambalo litahitaji umeme wa uhakika.




November 19, 2017

Waziri wa Nishati Dkt. Medard Kalemani atembelea kituo cha ufuaji umeme Kidatu

Waziri wa Nishati akiongea na waandishi wa Habari alipotembelea kituo cha Kidatu

Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Medard Kalemani ametembelea Kituo cha kufua umeme wa maji cha Kidatu (MW 204)  ambapo amekagua mashine no. 2 iliyoharibika na kuona matengenezo yake yanayoendelea kufanyika na wataalam wa TANESCO kidatu ambapo amewahakikishia wananchi kuwa Serikali inafanya kila liwezekanalo ili kuhakikisha hakutakuwa na mgao wa umeme.

Aidha, Mhe. Waziri ameiagiza TANESCO kuhakikisha ukarabati unafanyika katika Mashine.

Mhe. Waziri amesifu juhudi za mafundi wanaoendelea na ukarabati wa mashine hiyo, na kutoa siku saba iwe inafanya kazi.







November 18, 2017

TAARIFA YA KUSAFISHA NA KUUNGA BOMBA LA GESI - KINYEREZI I, MAANDALIZI YA KUUNGA KITUO CHA KINYEREZI I

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), linawataarifu Wateja wake kuwa leo Jumamosi Novemba 18 na kesho Jumapili Novemba 19, 2017 kuna usafishaji na kuunga bomba kubwa la Gesi katika Mitambo ya Kinyerezi I, sambamba na zoezi hilo pia yanafanyika maandalizi ya kukiunganisha Kituo cha Kinyerezi II, kuanzia Saa:02.00 Asubuhi hadi saa 11.00 Jioni, kama tulivyowatangazia.

Kutokana na kazi hiyo kutakuwa na upungufu wa umeme katika Gridi ya Taifa, hivyo baadhi ya Wateja waliounganishwa katika Gridi ya Taifa wa maeneo mbalimbali Nchini watakosa huduma ya umeme.

Zoezi hilo linaendelea kwa ufanisi mkubwa na uharaka ili kurejesha huduma ya umeme kwa wakati.
Tutaendelea kutoa taarifa zaidi za maendeleo ya kazi.

TAHADHARI
Kutokana na kazi hii Wananchi mnaombwa msipite karibu na eneo la Mitambo ya Kinyerezi, kutokuwasha moto, kutokufanya shughuli za uchomeleaji vyuma pamoja na shughuli nyingine yoyote yenye viashiria vya moto, ili kujikinga na madhara yanayoweza kutokea iwapo shughuli tajwa zinafanyika maeneo yaliyo karibu na Mitambo.

Shirika limesha fanya taratibu zote za ki usalama katika eneo la Mitambo.
TANESCO inawaomba ushirikiano na kuwa waangalifu wakati wa zoezi hili.

Kwa mawasiliano
Tovuti: www.tanesco.co.tz
Mitandao ya Kijamii
www.facebook/tanescoyetu
twitter.com/tanescoyetu
 
Tafadhali usisogelee, usishike wala kukanyaga waya uliokatika au kuanguka
Kwa taarifa za dharura kituo cha Miito ya simu namba 2194400 or 0768 985 100
Uongozi unaomba radhi kwa usumbufu wowote utakaojitokeza.

Imetolewa na: OFISI YA UHUSIANO,
TANESCO – MAKAO MAKUU.
Novemba 18, 2017

November 14, 2017

TANESCO Makao Makuu yaikabidhi mchango wa Milioni Kumi Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete.



Leo  Novemba 14, 2017 Wafanyakazi wa TANESCO Makao Makuu wakiongozwa na  Meneja Mwandamizi kanda ya Dar es Salaam na Pwani Mhandisi Mahende Mugaya kwa Niaba ya Kaimu Mkurugenzi Mtendaji TANESCO Dkt. Tito Mwinuka wamekabidhi hundi ya Shilingi Milioni kumi Taslimu kama mchango wa kugharamia matibabu ya watoto 5 wenye matatizo ya moyo katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete.

Mbali ya mchango huo wa Shirika wafanyakazi walichangia vifaa mbali mbali vya watoto kujikimu kama sabuni, maji ya kunywa, pampers n.k

Msaada huo ulikabidhiwa kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi hiyo Profesa Mohammed Janab


November 5, 2017

Naibu Waziri Nishati afanya ziara Mradi wa umeme Chamazi-Dovya kwa Mzala1-3, Mbande kwa Masista, Chamazi Vigoa.



Naibu Waziri wa Nishati Mhe. Subira Mgalu (Pichani) leo jumapili Novemba 5, 2017 anafanya ziara pamoja na Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO Dkt. Tito Mwinuka na Viongozi wa TANESCO kanda ya Dar es Salaam na Pwani.

Mhe. Mgalu anatembelea Mradi wa umeme Chamazi-Dovya kwa Mzala1-3, Mbande kwa Masista, Chamazi Vigoa.

Mradi ambao unatekelezwa na Shirika la Umeme Nchini (TANESCO), upo katika eneo la Mbagala na unatarajiwa kusambaza umeme kwa Wananchi wote wa Chamazi Dovya ambao hawajapata umeme.

 Mradi umekamilika katika mchanganuo ufuatao, Chamazi Dovya -miradi 3 Mbande kwa masista - miradi 4 jumla miradi 7 huku kila mradi ukiwa na transfoma 2 kila mmoja.


November 3, 2017

Mitambo ya kuzalisha umeme (System Turbine, no 2) yawasili Kinyerezi II



Mitambo ya kuzalisha umeme (System Turbine, no 2) kwa ajili ya mradi wa kutumia gesi asilia wa Kinyerezi II iliingia nchini kupitia Bandarini Oktoba 16, 2017 na leo hii Novemba 03, 2017 imetolewa Bandarini na hivi sasa inaelekea kituo cha kuzalisha umeme kwa gesi Kinyerezi II (MW 240) Jijini Dare es Salaam.

Mradi huu wa Kinyerezi II uliwekwa jiwe la msingi na Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli achi 16, 2016.

Mradi unatarajiwa kukamilika Septemba 2018. 






November 2, 2017

EMPLOYMENT OPPORTUNITIES INTERNAL AND EXTERNAL ADVERTISEMENT


 
The Tanzania Electric Supply Company (TANESCO) is focusing on increasing the outreach and service quality of its Energy products for Tanzanian people.  Next to its current passion as a leading provider of electricity is to be more efficient customer focused utility for Tanzania and beyond. The Company has the largest electricity generation, transmission and distribution network in Tanzania. In order to reach its goals, the Company will, in the coming years invest heavily in its generation, transmission and distribution network, its business systems and human capital.  TANESCO now invites internal & external applicants who are qualified, self-motivated, honest, hardworking and committed individuals to fill the under-mentioned posts at Mtera Hydro Power Plant:
Specific attributes for the Positions to be filled:
All Candidates must:
v  Have good performance track record
v  Demonstrate highest degree of integrity
v  Be capable of delivering excellent results while working under pressure with tight deadlines.
v  Good communication skills, creative and innovative
v  Good team player
v  Be self-driven and capable of working with minimal supervision;
v  Must be computer literate

1.        ARTISAN- MECHANICS       (1 POST)             
REPORT TO: MECHANICAL TECHNICIAN
             WORKSTATION: MTERA  HYDRO POWER PLANT

POSITION OBJECTIVE

Responsible for maintenance of plant machinery by attending all plant equipment to ensure smooth running of all plant machinery at the station by adhering to Plant preventive maintenance schedule.

DUTIES AND RESPONSIBILITIES:

a)       Repair all plant machinery under the directives from the mechanical Technician.
b)       Fabrication of all metal equipment and tools required for effective machinery operations.
c)        Report to the Mechanical Technician any defects on the plant machinery for the purpose of securing the components, spares and accessories necessary for accomplishment of daily duties.
d)       Execute all daily works as schedule and report all accomplished works to the mechanical Technician.
e)       Involve in preventive maintenance of plants according to maintenance yearly calendar
                                                                                                  
   KEY KNOWLEDGE, EXPERIENCE AND SKILLS REQUIRED FOR THE JOB

  • Certificate of Secondary Education Form IV or VI
  • Holder of Grade ONE or Level THREE certificate in fitter Mechanics or Fitter and Turner from VETA or any recognized institution.
  • Language  fluency in English and Swahili both spoken and written
  • Computer knowledge is an added advantage

2.        POSITION: DRIVER (1 POST)
REPORTS TO: SUPPLIES AND TRANSPORT OFFICER
REPORTING OFFICE: MTERA HYDRO POWER PLANT

POSITION OBJECTIVES
Driving company vehicles, and carry out other vehicles operation as instructed by procurement and transport officer in support of the company’s business operations.




DUTIES AND RESPONSIBILITIES:

 a)      To drive company vehicles to support various business operations of the plant.
 b)        Maintains accurate, up-to-date records on trip sheets, transportation forms, vehicle maintenance, incident reports, accident reports, vehicle condition reports and other records for proper management of vehicle and management decision;
  c)        To operate assigned vehicle in a safe and courteous manner observing all traffic regulations to avoid accidents and loss to the company;
  d)        To maintain high standard of service to both internal and external Customers;
  e)        To perform minor maintenance works on assigned vehicles to ensure the vehicle is in good condition all the time to support business operations in the region;
   f)        To maintain fuel consumption of the assigned vehicle and reports all abnormalities to the relevant supervisors;
  g)        To monitor the schedule for minor and major vehicle maintenance to avoid service regular interruptions;
  h)        To keep vehicle clean, tidy and in good working condition at all times and readily available for any assignment in the business operations;
KEY KNOWLEDGE, EXPERIENCE AND SKILLS REQUIRED FOR THE JOB

§  Certificate in Driving issued by NIT, VETA or any other recognized institution.
§  Certificate of Secondary Education (Form IV/VI).
§  Certificate of Competence issued by Police Tanzania
§  Driving license Class C, C1, C2 & E

3.        POSITION: CIVIL TECHNICIAN  (1 POST) – RE - ADVERTISED
     REPORTING TO: CIVIL ENGINEER
     REPORTING OFFICE: MTERA HYDRO POWER  PLANT

POSITION OBJECTIVE
To ensure that all scheduled activities related to civil works at the plant are carried out effectively and efficiently.

DUTIES AND RESPONSIBILITIES

a)              Prepare weekly maintenance Schedules and depict them on notice board for subordinates to realize the works has to execute
             daily.
b)              Ensure preventive maintenance of all civil structure is executed as per schedule and that emergency breakdowns are  
             attended timely.
c)               Make sure that maintenance record sheets are filled daily after execution of maintenance (both PM & Emergency
             breakdowns) works.
d)              Ensure availability of adequate tools for civil maintenance.
e)               Initiate RTPs and SIVs for regular needs of materials and spare parts. Also you will be responsible to initiate appropriate
             works orders (CWOs and R& M) as per approved budgets and forward them for approval and authorization.
f)                Ensure high standard of cleanliness and good appearance of all plant buildings, i.e  all plant offices, power house, staff
             houses and other related surroundings.
g)              Observe safety regulations when carrying out maintenance duties so as to avoid injuries or fatal accidents.

KEY KNOWLEDGE, EXPERIENCE AND SKILLS REQUIRED FOR THE JOB

  • Certificate of Secondary Education Form IV or VI
  • Holder of FTC or Ordinary Diploma in Civil Engineering from a recognized institution
  • Computer  literacy is  a must  


4.        ELECTRICAL TECHNICIAN –(1 POST) RE- ADVERTISED
             REPORT TO: ELECTRICAL ENGINEER                                  
             WORKSTATION: MTERA HYDRO POWER PLANT

POSITION OBJECTIVE:
Responsible for execution of all electrical maintenance works/activities in the Power Plants, with objective of ensuring smooth operational of power generating equipment.



DUTIES AND RESPONSIBILITIES

a)       Respond promptly to emergence calls during emergence breakdowns to ensure restoration of fault equipment within minimum time possible.
b)       Attend the plant Maintenance works as schedule, keep maintenance records, equipment status updating and submit work reports after repairs or preventive maintenance.
c)        Ensure all the control cubicles in control room, relay room and entrance building are locked, free from dust and cobwebs on the outside and inside, also make sure all the equipment in these cubicles are in a good order .
d)       Reading and interpreting all drawings and manuals necessary for smooth execution of the plants.
e)       Execute properly preventive maintenance of electrical equipment in a planned time to ensure emergence breakdowns are avoided.
f)         Responsible for going through the defect book in control room and attend defects recorded in the defect book.
g)       Identify all faults/defects of the equipment and carry out necessary repairs.
h)       Also responsible for carrying out installation and testing of new electrical equipment.
i)         Observe safety regulations when carrying out maintenance duties to ensure no accidents to people and equipment.
j)         Maintain and keep in safe custody all equipment and working tools under your jurisdiction

§  KEY KNOWLEDGE, EXPERIENCE AND SKILLS REQUIRED FOR THE JOB

  • Certificate of Secondary Education Form IV or VI
  • Holder of FTC or Ordinary Diploma in Electrical  Engineering from a  recognized Technical institution 
  • Computer  literacy is  a must
  • Ordinary Diploma in Electrical Engineering/FTC  from a recognized Institution


5.        NURSE MID-WIFE- (1POST)
             REPORT TO: MEDICAL DOCTOR /CLINICAL OFFICER                                   
             WORKSTATION: MTERA HYDRO POWER PLANT

POSITION OBJECTIVE

Responsible for the provision of high quality health services to staff, dependents and community in large.

DUTIES AND RESPONSIBILITIES

a)       Provide reproductive child health services. Also nursing patients and take records of patient’s vital sign
b)       Administer medicines and drugs as prescribed by clinical officer /Medical Doctor and inform clinical officer whether over doses are prescribed.
c)        Provide community health education and sensitization on HIV/AIDS and individual health education to patient pertaining to their pathological significant. Also maintain the confidentiality of every individual case handled at dispensary.
d)       Provide vaccinations and first aid services to injury patients and maintain up to date inventory of all dispensary facilities and report in case of any damage.
e)       Order, receive, store and dispense drugs and other pharmaceutical and supervise dispensary cleanness and sterilize dispensary equipments.
f)         Assist Medical Doctor/Clinical Officer with examination and treatments of diseases and on compiling weekly and monthly reports needed by DMO and Plant Human Resources Officer.
g)       Provide professional care for patients, recovery, physical and well being.
h)       Perform other related duties as directed by the supervisor.


KEY KNOWLEDGE, EXPERIENCE AND SKILLS REQUIRED FOR THE JOB
                                                                                                                                       
§  Form IV/VI Education Certificate
§  Holder of Diploma in Nurse  Midwife from recognized Institution
§  Registered by Tanzania Nursing and Midwifery  Council

REMUNERATION
An attractive compensation package will be offered to the successful candidates.

HOW TO APPLY
·         Qualified and interested candidate may apply by sending a detailed application letter clearly stating why you should be considered for the position and how you will add value to the company.
·         All Applications must be accompanied with a detailed curriculum vitae, copies of relevant certificates, testimonials and contacts of three referees. 
·         Application letters should clearly state the candidate’s name, secondary examination index number and year of examination appearing in the attached academic certificates.
·         Applications should be sent to address of a respective reporting office where advertised position(s) exist(s). Address for each reporting office is indicated in the table below:

IMPORTANT NOTICE TO ALL APPLICANTS:
v  First appearance: 03rd November, 2017
v  Deadline for submission of applications is 16th November, 2017
v  Applicants must include reliable phone numbers for effective communication.
v  All Applicants who will not be invited for an interview should consider themselves unsuccessful.
v  All internal applicants should channel their applications through their respective Managers before sending their applications to Mtera Hydro Power Plant.
v  Please note that phone calls or any kind of soliciting for these positions by applicants or relatives will automatically lead to disqualification.


Applications should be addressed to:

PLANT MANAGER,
MTERA HYDRO POWER PLANT,
P. O BOX 2199
MTERA, DODOMA