September 23, 2013

TAARIFA FUPI YA KISHOKA ALIYEKAMATWA MKOA WA TEMEKE



Siku ya Jumanne tarehe 17-09-2013 Mkoa wa Temeke ulimkamata KISHOKA  aliyejitambulisha kwa jina la Benard Kilembe mkazi wa Yombo Vituka. Kishoka huyu alieleza kuwa aliwahi kuwa mfanyakazi wa muda maalum Tanesco-Mbeya  miaka ya 1995-1997. 
 
Baada ya kupekuliwa nyumbani kwake, alikutwa na nyaraka mbalimbali za shirika kinyume na taratibu, sare ya Ijumaa(T shirt)  na Shati la Sare za mafundi, Rakili mali za Shirika (seal), vipande vya nyaya 50mm na 25mm,kitambulisho cha aliye kwenye mafunzo  na  na pamoja na hayo alikuwa amejiunganishia umeme kinyume cha taratibu.
Kishoka huyu bado yupo chini ya ulinzi kwenye kituo cha polisi Chang’ombe akiisaidia polisi na uchunguzi zaidi.

 


 Akiwa chini ya ulinzi 

Daftari la wateja anaowatembelea

Kitambulisho anachotumia kufanya shuguli zake



September 19, 2013

TENDER NO. PA/001/13/LZN/N/004 FOR GUARDING TANESCO PREMISES AND INSTALLATIONS IN LAKE ZONE REGIONS FOR 2013



Invitation for Tenders                            

1.      Tanzania Electric Supply Company Limited (TANESCO) intends to enter into contract for provision of non consultant services for Guarding Tanesco Premises and Installations in Lake Zone Regions of Mwanza, Kagera, Tabora and Kigoma for 2013.
2.      The Tanzania Electric Supply Company Limited (TANESCO) now invites sealed bids from eligible Bidders for provision of non consultant services for Guarding Tanesco Premises and Installations in Lake Zone Regions of Mwanza, Kagera, Tabora and Kigoma for 2013.
3.      Tendering will be conducted through National Competitive Bidding procedure as specified in the Public Procurement (Goods, Works, Non Consultant Service and Disposal of Public Assets by Tender) Regulations, 2005 – Government Notice No. 97 and is open to Tenderers as defined in the Regulations.

4.      The scope of services will involve the guarding of Lake Zone regions categorized in regions as lots. Service providers are free to bid for any complete lot or combination of lot(s) of their choice. Incomplete or partial bids submitted by the bidder will be rejected. The evaluation and award will be carried out on the basis of an individual lot as described in the table below:-

Lot No.
Description
Lot 1.
Guarding Tanesco Premises and Vital installations in Mwanza Region
Lot 2.
Guarding Tanesco Premises and Vital installations in Kagera Region
Lot 3.
Guarding Tanesco Premises and Vital installations in Tabora Region
Lot 4.
Guarding Tanesco Premises and Vital installations in Kigoma Region

5.      Interested eligible Bidders may obtain further information from and inspect the Tendering Documents at the Zonal Procurement Management Unit Office (ZPMU) located at TANESCO Lake Zone office, Former TANESCO Mwanza Regional Office, P.O. Box 812 Mwanza. Telephone/fax (255) 28 2541629/2541617 from 09:00hrs to 16.30hrs on Mondays to Fridays inclusive except on public holidays.

6.      A complete set of Tendering Document(s) in English and additional sets may be purchased by interested Tenderers on the submission of a written application to the address given under paragraph 5 above and upon payment of a non-refundable fee of Tshs: 50,000 per Tender. Payment should either be by Cash, Banker’s Draft, or Banker’s Cheque, payable to TANESCO Ltd. P.O. Box 812 Mwanza, Tanzania.

7.      All Tenders must be accompanied by original tender securing declaration or tender security equivalent to 1.5% of contract value in Tanzanian Shilling (TZS) in the form of bank guarantee or banker’s cheque from reputable bank.

8.      All tenders in one original plus three copies, properly filled in, and enclosed in plain envelopes clearly markedTENDER NO. PA/001/13/LZN/N/004 FOR GUARDING TANESCO PREMISES AND INSTALLATIONS IN LAKE ZONE REGIONS FOR 2013, NOT TO BE OPENED BEFORE 14:30 HOURS on 25th October, 2013 should be addressed to the SECRETARY, DELEGATED ZONAL TENDER BOARD P.O. BOX 812, Mwanza to reach him at Lake Zone Office, Former TANESCO Mwanza Regional Office, not later than 25th October, 2013 at 14.30pm local time.

9.      The interested bidders shall visit the Site to inspect the scope of works and acquaint themselves with the surroundings and obtain all information that may be necessary for preparing the tender and entering into a contract. The costs of visiting the Site shall be at the bidder’s own expense. Bidders will be required to contact with Zonal Procurement Office for site visit arrangements.

10.  Late Tenders, Portion of Tenders, Electronic Tenders, Tenders not received, Tenders not opened and not read out in Public at the tender opening ceremony shall not be accepted for evaluation irrespective of the circumstances.


SENIOR ZONAL MANAGER
TANESCO - LAKE ZONE

KATIZO LA UMEME MKOA WA PWANI NA KILIMANJARO



Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linasikitika kuwataarifu wateja wake wa Wilaya ya Mkuranga na Same kuwa kutakuwa na katizo la umeme siku ya  Jumamosi Septemba 21, 2013 kuanzia saa 3:00 asubuhi hadi saa 11:00 jioni. 

Sababu ni: Kufanya matengenezo kwenye laini ya Msongo    wa 33 KV Maweni na Mkuranga na Kubadilisha nguzo zilizo oza katika laini ya msongo wa kilovolt 33 ya Makanya-SAME

Maeneo yatakayoathirika ni :- 
Wilaya ya MKURANGA ni: Kiwanda cha Maweni, maeneo yote ya Viwandani pamoja na mji wa Kisemvule na mkuranga mjini

Wilaya ya SAME ni: : Makanya, Vudee, Chome, Suji, Tahe Saweni pamoja na
                                           Hedaru


Tafadhali usishike, usikanyage wala kusogelea nyaya za umeme zilizolala chini, ijulishe TANESCO mara moja kwa simu na: Mkoa wa Pwani:0657 108782 au Call centre namba 2194400 au 0768 985 100
SAME: 0272755007, 0272755008, na 0682771310.0765397925
         


.Uongozi unasikitika kwa  usumbufu wowote utakaojitokeza.

IMETOLEWA NA:   OFISI YA UHUSIANO,
TANESCO - MAKAO MAKUU.
 

TANGAZO LA KATIZO LA UMEME MKOA WA KINONDONI KUSINI



Shirika la Umeme Tanzania TANESCO linasikitika kuwaarifu wateja wake wa Mkoa wa Kinondoni Kusini kuwa kutakuwa na katizo la umeme kama ifuatavyo:-

SABABU:  Kufunga swichi ya laini ya msongo mkubwa (33KV load breaker switch)

RATIBA YA KATIZO LA UMEME

TAREHE NA MUDA
MAENEO YATAKAYOATHIRIKA
           Jumamosi
21/09/2013
Saa 4:00 Asubuhi hadi saa 10:00 jioni   
Landmark Hotel, Ubungo Kisiwani, Mikoani Traders, Benjamini Mkapa Economic Zone, BP Mandela road, Mlimani property, Diesel Mandela Road,SITA Steel,Simba Steel,NIDA Textile,Tabata, ALAF,Cello Industry,Buguruni Maji machafu,Part of Buguruni Kwa Mnyamani,Bora Industry,Kioo Limited&TCC ,Tridea  Cosmetics  ,Quality  Centre, Azam Buguruni, Alaf LTD, Qujam Steel, Kamal Steel, Bakresa, Steel Master, Cello Industry, East star International na maeneo ya jirani (FZ3 - 1 )



Tafadhali usishike waya uliokatika, toa taarifa kupitia simu zifuatazo  0222171762 – 65, 0784271461, 0715271461,  Au Call centre number 2194400 or 0768 985100

Uongozi unasikitika kwa usumbufu wowote utakaojitokeza.                                         

Imetolewa na: Ofisi ya Uhusiano
                        Tanesco-Makao Makuu

TAARIFA YA KATIZO LA UMEME MKOA WA DODOMA



Shirika la umeme Tanzania (TANESCO) linasikitika kuwataarifu wateja wake wa mkoa wa Dodoma kuwa kutakuwa na katizo la umeme siku ya JUMAMOSI 21/09/2013 kuanzia Saa 03:00 asubuhi - 11:00 jioni.  Sababu ni kubadilisha nguzo zilizochakaa

MAENEO YATAKAYOATHIRIKA KATIKA WILAYA YA KONDOA:-
Aya Sekondari, Mondo,Kelema Maziwa, Dalai, Jenjeluse, Goima, Songolo, Hamai na Churuku

MAENEO YATAKAYOATHIRIKA KATIKA WILAYA YA KITETO
Chamanda, Mlijo juu,  Mrijo Chini, Soya, Kiteto Mjini, Mapango, Matui, Dosidosi, Enguselo,Njoro, Chekanao, Kipelesa na maeneo yote ya Kiteto

Tafadhali usiguse wala kukanyaga nyaya zilizoanguka, toa taarifa kupitia namba zifuatazo 026 2321728, 0732961270, and 0732961274. au namba za huduma kwa wateja  2194400 or 0768 985 100.

Uongozi unasikitika kwa usumbufu wowote utakaojitokeza.


Imetolewa na:          OFISI YA UHUSIANO,
                                    TANESCO  – MAKAO MAKUU.