June 5, 2013

TAARIFA YA KATIZO LA UMEME – MKOA WA KINONDONI KASKAZINI




na Shirika la Umeme Tanzania TANESCO linasikitika kuwataarifu Wateja wake wa Mkoa wa Kinondoni Kaskazini kuwa kutakuwa katizo la umeme kama ifuatavyo:-

TAREHE:       06/06/2013 (Alhamisi)   
                    
SAA:               3:00 Asubuhi hadi saa 11:00 Jioni.

SABABU:       Matengenezo katika laini ya msongo mkubwa, Kubadilisha nguzo zilizooza na
kukata Miti.

MAENEO YATAKAYOATHIRIKA:
Tegeta CCM, Chanika, Njia panda ya wazo factory, Tegeta Masaiti, Tegeta Namanga, Boko Basihaya, Boko CCM, Boko Maliasili, Boko National Housing, Ndege beach, Mbweni Kijijini, nyumba 151 za Serikali/Mh.Magufuli, Bakili Muluzi school, kwa Kala mweusi, Mbweni Mpiji, Kota za Wazo, Dogodogo centre, uwanja wa Nyuki, Ofisi ya Raisi flats, Marando street Bunju, Presidents Office Mbweni, Mbweni Kijijini, and Mabwepande na baadhi ya maeneo ya Bagamoyo.

Tafadhali kuwa makini na nyaya za umeme zilizo chini. Ukiwa na wasiwasi piga simu Usishike waya wa umeme  TANESCO Tegeta: 0717 650878, 0688 650878 au  Kinondoni Kaskazini: 022 2700367, 0784 768584, na  0716 768584 Au namba za huduma kwa wateja  022-2194400  au  0768 985 100.
          
Uongozi unasikitika kwa usumbufu wowote utakaojitokeza.


Imetolewa na:            OFISI YA UHUSIANO,
                                    TANESCO – MAKAO MAKUU.

No comments:

Post a Comment