June 20, 2013

WAZIRI WA NISHATI NA MADINI AKIZUNGUMZA NA UONGOZI WA KAMPUNI ZA UMEME MAREKANI.

Waziri wa nishati na madini Mh.Prof.Sospeter Muhongo akizungumza na uongozi wa kampuni za umeme za marekani za symbion na General Electric (GE) katika ukumbi wa wizara hiyo juu ya ujenzi wa mtambo wa kuzalisha umeme wa MW 400 mkoani Mtwara.

No comments:

Post a Comment