December 9, 2017

TAARIFA YA KUHAMISHA MIFUMO YA LUKU

Tunawataarifu Wateja wetu kuwa, kutokana na kazi ya ubomoaji wa jengo la Ofisi za TANESCO Makao Makuu, Ubungo linaloendelea, leo Desemba 09, 2017 kutakuwa na kazi ya kuhamisha Mifumo ya LUKU (Servers).

Kutokana na kazi hiyo Wateja wetu hawataweza kununua umeme kati ya saa 4 usiku hadi saa 7 usiku.
Ahsanteni kwa ushirikiano wenu.

Tutaendelea kutoa taarifa zaidi.

Toa taarifa kupitia namba za simu zifuatazo:
Kituo cha miito ya simu 2194400 na 0768 985100

Tovuti: www.tanesco.co.tz
 
Mitandao ya Kijamii
www.facebook/tanescoyetultd
twitter.com/tanescoyetu
 
Imetolewa na Ofisi ya Uhusiano
TANESCO Makao Makuu
Desemba 09, 2017

No comments:

Post a Comment