December 7, 2014

TANGAZO KWA WATEJA WA MKOA WA ILALA

Shirika la Umeme Tanesco linawataarifu wateja wake wa Mkoa wa Ilala kuwa jana, saa 4 usiku kumetokea hitilafu ya dharura kwenye kituo chake cha kupooza umeme cha Ilala hivyo kusababisha ukosefu wa umeme kwa baadhi ya maeneo ya Kurasini, kigamboni, Mbagala, Changombe, Nyerere rd, Mafundi wa karakana ya umeme wanashugulikia tatizo na tunatarajia umeme utarudi saa 10:00 jioni leo.

Uongozi unaomba radhi kwa usumbufu wowote utakaojitokeza.

IMETOLEWA:
                        OFISI YA UHUSIANO
                          TANESCO MAKAO MAKUU

No comments:

Post a Comment