December 27, 2014

TAARIFA KWA WATEJA WA ARUSHA

Nguzo ya HT laini ya 11KV M2 eneo la Sekei Arusha imeanguka. Mafundi wamefungua jumper.

Maeneo yanayoathirika ni Oligli, Bangata Star TV, Visima vya maji na Midawe.

Mafundi wameanza kazi ya kubadilisha nguzo

No comments:

Post a Comment