February 5, 2016

KATIZO LA UMEME MKOA WA ILALA







                                                SHIRIKA LA UMEME TANZANIA
KATIZO LA UMEME MKOA WA ILALA

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linawataarifu wateja wake wa Mkoa wa Ilala kuwa kutakuwa na katizo la umeme kama ifuatavyo:-

SABABU:      Kubadilisha nguzo ziliizooza na matengenezo ya “Substations”  kwenye laini      ya msongo mkubwa.

MUDA:           Saa 3.00 Asubuhi - Saa 11.00 Jioni

TAREHE:      09/02/2016, Jumanne

MAENEO YATAKAYOATHIRIKA:
Tabata relini, Liwiti, Kisiwani, Kimanga, Bima, Hai bar, Ubaya Ubaya, Kisukuru, Mawenzi,
Makoka, Bonde la msimbazi, Magengeni, Beto motors, Sadolin, Five star printer, Kiwanda
cha  Guru, Kituo cha Polisi Tazara, Delta, Azania, Pepsi yundai, kiwalani bombom na
maeneo yanayozunguka. 

TAREHE:      11/02/2016, Alhamisi

MAENEO YATAKAYOATHIRIKA:
Uwanja wa ndege Terminal II, JWTZ, BP Air Port, Karakata, Semminary, Sitaki shari, Majumbasita na baadhi ya Viwanda vilivyoko barabara ya Nyerere, Metro plastic, Fusing Investment, Kiwalani kwa kalokola, Maeneo ya kwa bingubita, kwa Kapuya, Volvo, Omary packaging, Castrian, Cast steel na maeneo yanayozunguka.

TAREHE:      13/02/2016, Jumamosi

MAENEO YATAKAYOATHIRIKA:
Jangwani Romejas, Matumbi, A & B, Jangwani Sea Breeze, Shule ya Sekondari Azania, Hospital ya Taifa ya Muhimbili, Upanga Kalenga, Jambo plastic, Becco, OK plastic, HTK, DT Dobi, Amary bakery, maeneo yote ya Vingunguti, Kiyembembusi, Simba, Kidarajani, PMM, Omary Packaging na maeneo yanayozunguka.


Tafadhali usishike waya uliokatika toa taarifa kupitia simu zifuatazo, Dawati la dharura mkoa wa Ilala - 022 213 3330, 0784 768586, 0715 76 85 86, kitengo cha dharura Tabata  0684001068, 0715768589 au kituo cha miito ya simu namba 2194400 au 0768 985 100- 0684001068.

Tafadhali usishike waya uliokatika, toa taarifa kupitia simu zifuatazo za

Uongozi unasikitika kwa usumbufu wowote utakaojitokeza.


Imetolewa na:          OFISI YA UHUSIANO,
                                  

                               TANESCO – MAKAO MAKUU


No comments:

Post a Comment