January 4, 2018

TAARIFA KWA UMMA KUHUSU WATEJA WALIOHAMISHWA KUTOKA MITA ZA ZAMANI KWENDA LUKU WAKIWA NA MADENI



Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) tunawataarifu Wateja wetu wenye madeni, ambao walihamishwa kutoka mita za zamani (Conversional Metter) kwenda mita za LUKU kuwa,
Hapo awali walipokuwa wakifanya manunuzi ya umeme, nusu ya fedha ilikatwa kulipa deni la umeme, TANESCO sasa imebadilisha, na  kuweka mfumo mfumo ambao utawezesha madeni hayo kumalizika ndani ya miaka miwili (2).

Kwa wale ambao madeni yalitokana na wizi wa umeme yanatakiwa yakamilike ndani ya miezi sita (6).

Kwa mawasiliano toa taarifa kupitia,
Kituo cha miito ya simu Makao Makuu +255 222 194 400 na +255 768 985 100
  
Tovuti: www.tanesco.co.tz, mitandao ya kijamii: Twitter, www.twitter.com/tanescoyetu,


IMETOLEWA NA: OFISI YA UHUSIANO
                                 TANESCO MAKAO MAKUU
                                  JANUARI 04, 2018

No comments:

Post a Comment