March 11, 2014

KATIZO LA UMEME MKOA WA KINONDONI KASKAZINI



Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linawataarifu wateja wake wa Mkoa wa Kinondoni Kaskazini  kuwa kutakuwa na katizo la umeme kama ifuatavyo:-

MUDA:           3 Asubuhi – 11 Jioni

SABABU:      Matengenezo, kukata miti na kubadilisha nguzo zilizooza

TAREHE:      12, Machi, 2014

MAENEO YATAKAYOATHIRIKA:
Tunisia, Barabara ya Kinondoni na Msese, Tazara club, barabara za Kaunda na Kenyatta, mtaa wa Laiboni, Kinondoni shamba na Ada Estate, Balozi za Ufaransa, India, Urusi, Japan na Kenya, makazi ya Balozi wa Ujerumani na Uswisi, makazi ya Rais wa Zanzibar, Stanbic/Ocean front building.

TAREHE:      13, Machi, 2014

MAENEO YATAKAYOATHIRIKA:
Hoteli ya Sea Cliff, TPDF Masaki mwisho, Government quorters Masaki, Coral beach, Coral lane, Yatch club, Slip way, Trauma hospital, Mahando street, and surroundings, Mbezi juu, Mbezi samaki, Baraza la Mitihani Mbezi, Shule ya St.Marys Mbezi, Mbezi Garden, Ndumbwi, Mbezi kwa Msomali, Mbezi Makonde, Mbezi Machakani, Mbezi NSSF, Mbezi Masoko ya kariakoo flats, Mbezi Jogoo, Art Garlery, ATN/Agape Television, Maaza juice factory, viwanda vya Polypet, Interchik na Chemi & Cotex.

Tafadhali usishike waya uliokatika, toa taarifa kupitia simu zifuatazo  022 2700367, 0784 768584,  0716 768584 Au Call centre namba 2194400.

Uongozi unasikitika kwa usumbufu wowote utakaojitokeza


Imetolewa na:          OFISI YA UHUSIANO,
TANESCO - MAKAO MAKUU.

No comments:

Post a Comment