March 12, 2014

KATIZO LA UMEME MKOA WA PWANI NA ILALA



Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linawataarifu wateja wake wa Mkoa wa Pwani na Ilala  kuwa kutakuwa na katizo la umeme kama ifuatavyo:-

MKOA WA PWANI:

TAREHE:          14/03/2014; Ijumaa
                    
SAA:                4:00 Asubuhi- 11:00 Jioni

SABABU:          Kufanya matengenezo, kubadilisha nguzo chakavu kwenye njia ya umeme ya Lugoba ya msongo wa 33kV

MAENEO YATAKAYOATHIRIKA
Chalinze, Msoga, Mboga, Lugoba, Msata, Wami kituo cha kusukuma maji, Mandera, Miono na Mbwewe

MKOA WA ILALA:

TAREHE:          Jumamosi  15/03/2014
                    
SAA:                3:00 Asubuhi - 12:00 Jioni

SABABU:          Kufanya Ukarabati, Kubadilisha Nguzo Zenye Matatizo na Kuweka Waya wa Kuzuia Radi  Pamoja na Kumuunganishia Wateja Wakubwa Umeme M/S Expresse Hotel Ltd na Nevada Golden Coins Ltd Kwenye Njia Kuu ya Umeme ya Sokoine Yenye Msongo wa kilovolt 33

MAENEO YATAKAYOATHIRIKA:
Amani Place, FNB Bank, Mafuta House (Benjamin W. Mkapa Tower), Hosipitali ya Saratani ya Ocean Road, Hoteli ya Kilimanjaro (Hiyatt), Jengo la Kitega uchumi, Mahakama Kuu, Wizara ya Elimu, Jubilee Tower, Wizara ya Afya, Wizara ya Nishati na Madini, Ofisi ya waziri Mkuu, Ofisi ya TANESCO Mkoa wa Ilala, Steers, CRDB tawi la  Holland, NMB House Samora, Ofisi ya Habari na maelezo Samora, CDC, WAMA, Mtaa wa Lithuli, Kivukoni Ferry, Hoteli ya New Africa ,Mahakama ya Rufaa, Umoja House, Jengo la mikutano la Mwalimu Nyerere, Benki kuu ya Tanzania, Palm residence, Chuo cha Utalii, Police Marine , Mtaa wa Shaban Robert, Mtaa wa Mirambo, Barabara ya Umoja wa Mataifa/Fire, Hospitali ya Regence, Uhuru Height, Sukari house, NDC, BOT, Kitega Uchumi, Mtaa wa Obama, Baadhi ya mtaa wa Samora  na maeneo mengine ya jirani.

Tafadhali usishike waya uliokatika toa taarifa kupitia simu zifuatazo: 022 213 3330, 0784 768586, 0715 768586, Mkoa wa Pwani: 0657 108782. au Call centre namba 2194400  au 0768 985 100

Uongozi unasikitika kwa usumbufu wowote utakaojitokeza.


Imetolewa na:   OFISI YA UHUSIANO,
                        TANESCO – MAKAO MAKUU.                                

No comments:

Post a Comment