January 7, 2014

KATIZO LA UMEME MKOA WA KINONDONI

TANGAZO LA KATIZO LA UMEME MKOA WA KINONDONI KUSIN
Shirika la Umeme Tanzania TANESCO linawatarifu wateja wake wa Mkoa wa Kinondoni Kusini kuwa kutakuwa na katizo la umeme kama ifuatavyo:-
SABABU: Kukata miti kwenye laini ya msongo mkubwa, kufunga swichi, kubadilisha nguzo zilizooza.na
                 matengenezo kwenye kituo cha kupozea umeme cha ubungo.
DATE
TIME
AREA
  Jumatano
08/01/2014
         
 
Saa 03:00
Asubuhi hadi
11:00 jioni
Ubungo kibangu, makoka, Kimara Mwisho, Bonyokwa, Kimara stop over, kimara Temboni, Kimara suka, kwa msuguli, Kibanda cha mkaa, mbezi mwisho, king’ong’o, makabe, Mpigi magohe, kwembe, kibamba, Malamba mawili na maeneo ya jirani.
Saa 03:00 Asubuhi hadi 11:00    Jioni
Mabibo, makuburi, mandela road, mabibo jeshini, ubungo kibangu, mabibo relini, mabibo shungashunga, ubungo maziwa,mabibo hostel, coast miller na maeneo ya jirani.
Alhamisi
09/01/2014
Saa 03:00 Asubuhi hadi 11:00    Jioni
Ubungo kibangu, makoka, Kimara Mwisho, Bonyokwa, Kimara stop over, kimara Temboni, Kimara suka, kwa msuguli, Kibanda cha mkaa, mbezi mwisho, king’ong’o, makabe, Mpigi magohe, kwembe, kibamba, Malamba mawili na maeneo ya jirani.
Saa 03:00 Asubuhi hadi 11:00    Jioni
Sinza uwanja wa tipi, Sinza Vatican,Sinza Kijiweni,Sinza Namnani hotel,Sinza Lion Hotel,Sinza Kumekucha,Sinza kwa Remmy,Sinza Mwika na maeneo ya jirani. Sinza madukani, sinza mugabe, Rombo green view, Legho na maeneo ya karibu
Jumamosi
11/01/2014
Saa 03:00 Asubuhi hadi 11:00    Jioni
Mabibo, Mabibo mwisho, mabibo jeshini, mabibo relini, ubungo maziwa TANESCO Head office,Ubungo maji, kimara korogwe, kimara mavurunza, msewe, kimara bucha,Kimara bahama mama  University of Dar es salaam, Ardhi University (UCLAS), Survey, Majumba Ishirini, Makongo chini, Mabibo, makuburi, mandela road, mabibo jeshini, ubungo kibangu, mabibo relini, mabibo shungashunga, ubungo maziwa,mabibo hostel, coast miller (Ubungo bus terminal, TBS, Dar Brew, sinza Mugabe, Sinza ukuta wa posta, Rombo Green View, Legho, manzese part. (na maeneo ya jirani
Tafadhali usishike waya uliokatika, toa taarifa kupitia simu zifuatazo 0222171762 – 65, 0784271461, 0715271461, Au Call centre number 2194400 or 0768 985100
Uongozi unasikitika kwa usumbufu wowote utakaojitokeza.
Imetolewa na;
                       Ofisi ya Uhusiano
                       Tanesco-Makao Makuu

No comments:

Post a Comment