January 21, 2014

MKOA WA TEMEKE

  TAARIFA YA KATIZO LA UMEME
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linawaarifu wateja wake wa Mkoa wa Temeke kuwa, kutakuwa na katizo la umeme kama ifuatavyo:-
TAREHE
SABABU
MAENEO YATAKAYOATHIRIKA
Alhamisi
23 Jan. 2014
08:00 – 18:00 jioni
Kubadilisha nguzo za umeme mkubwa chang,ombe gold star zilizooza na kuvuta waya zilizokatika maeneo ya TEMEKE pile.
Maeneo yote ya MTONI, MTONGANI, BANK-CLUB, KICHANGANI, KINDANDE, MBAGALA MISSION,  NDENGELEKO
Ijumaa
24 Jan.  2014
09:00 – 16:00 mchana
Kubadilisha line kutoka kwenye nguzo zilizooza kwenda kwenye nguzo mpya.
Maeneo yote ya MBAGALA, KONGOWE na MKURANGA
Jumamosi
25 Jan. 2014
09:00 – 18:00jioni
Kufunga Auto recloser kwenye line ya mkuranga
Maeneo yote ya KIGAMBONI, MJIMWEMA, TUANGOMA,KIBADA, GEZAULOLE;
CHANG’OMBE VIWANDANI KAMA SERENGETI, KONYAGI, INSIGNIA, SOKOTA, NATIONAL STADIUM, TEMEKE MUNICIPAL NA MAENEO JIRANI; MAENEO YA NYERERE RD VIWANDANI KAMA TCC, BORA, BINFIJA, PANASONIC, MANSOORDAYA, TTCL, SUPERDOLLY, KIUTA na maeneo jirani.
Kubadilisha nguzo iliyooza maeneo ya chang,ombe.
Jumapili
26 Jan, 2014
09:00 – 17:00 jioni
Kubadilisha nguzo kubwa iliyooza maeneo ya keko MSD.
Maeneo ya keko mwanga, MDS, KEKO PHARMACEUTICAL na maeneo jirani.
Tafadhali usishike waya uliokatika, toa taarifa kupitia Dawati la dharura Mkoa wa Temeke:-
0222138352, 0732 997361, 0712 052720, au Kituo cha miito ya simu 022 2194400 /
0768 985 100
Uongozi unasikitika kwa usumbufu wowote utakaojitokeza
              Imetolewa na : 
                           Ofisi ya Uhusiano
                    Makao-Makuu

No comments:

Post a Comment