March 16, 2012

Jamii yaamua kuzuia wizi wa mafuta ya transfoma za TANESCO

Wakazi wa Mtaa wa Kondo Bahari Beach uliopo Kata ya Kunduchi, wameamua kujengea uzio transifoma za umeme zilizopo katika mtaa wao ili kuzuia wizi wa mafuta, ambao umekithiri katika maeneo mengi ya Jiji la Dar es salaam. Wizi huu hufanya transifoma kulipuka na kuungua hivyo kuwaacha wateja wakiwa gizani lakini pia unaliingizia Shirika hasara kubwa kwa kununua transifoma mpya. 

No comments:

Post a Comment