March 5, 2012

TAARIFA YA KATIZO LA UMEME


Shirika la Umeme Tanzania TANESCO linasikitika kuwaarifu wateja wake wa Mkoa wa Ilala  kuwa kutakuwa na katizo la umeme kama ifuatavyo:-

TAREHE:   07/03/2012 (Jumatano) na 09/03/2012 (Ijumaa)
                    
MUDA:        3:00 Asubuhi - 12:00 Jioni

SABABU:     Kufanya matengenezo, kubadilisha nguzo na kukata matawi ya miti katika Line ya  
                      Msongo mkubwa ya Fz III-II

MAENEO YATAKAYOATHIRIKA:-
Tabata Kisiwani,Tabata Kimanga,Kisukulu,Bonyokwa,Tabata segerea,Tabata Kinyerezi,Tabata Bima,Ukonga Segerea,Moshi Bar,Kipunguni,Mazizini,Kisarawe,Pugu Mikongeni, Kajiungeni, Chanika, Markuz,Chuo cha kampala,Ukonga Magereza,Majohe,Namera Group,Karakata,Sitaki shari na Tabata Chang’ombe.

Tafadhali usishike waya uliokatika toa taarifa kupitia simu zifuatazo:-
022 213 3330, 0784 768586, 0715 768586 ofisi ya mkoa Ilala, 0715 76 85 84 au 0688 00 10 71 ofisi ya wilaya ya Gongo la Mboto, 0684 00 10 68 ofisi ya wilaya ya Tabata na 0684 00 10 66 ofisi ya wilaya ya viwandani.
Namba za kituo cha kutoa huduma kwa wateja( Call centre numbers) ni 2194400 au 0768 985 100

Uongozi unasikitika kwa usumbufu wowote utakaojitokeza


Imetolewa na:       Ofisi ya Uhusiano,
                               TANESCO – Makao Makuu

No comments:

Post a Comment