March 8, 2012

TAARIFA YA KATIZO LA UMEME


Shirika la Umeme Tanzania TANESCO linasikitika kuwaarifu wateja wake wa Mkoa wa Ilala kuwa kutakuwa na katizo la umeme kama ifuatavyo:-


TAREHE: 10/03/2012; Jumamosi


SAA: 3:00 Asubuhi- 12:00 Jioni


SABABU: Kufanya kazi za Matengenezo kwenye njia ya umeme Ilala-Buguruni

MAENEO YATAKAYOATHIRIKA: 


Maeneo ya Vingunguti , Jambo plastics, Sehemu ya maeneo ya Kiwalani, sehemu ya maeneo yaliyoko kandokando ya barabara ya Nyerere kuanzia TAZARA hadi kiwanda cha PEPSI,Kiwanda cha Bakhresa Food Products cha Buguruni na Maeneo yanayokizunguka.

Tafadhali usishike waya uliokatika toa taarifa kupitia simu zifuatazo:


022 213 3330, 0784 768586, 0715 768586 ofisi ya mkoa wa Ilala Samora, 0715 76 85 84 or 0688 00 10 71 Ofisi ya wilaya Gongo la Mboto, 0684 00 10 68 Ofisi ya wilaya Tabata na 0684 001066 Ofisi ya wilaya ya viwanda. (Call centre numbers) 2194400 au 0768 98 51 00


Uongozi unasikitika kwa usumbufu wowote utakaojitokeza

Limetolewa na: Ofisi ya Uhusiano

TANESCO Makao Makuu

No comments:

Post a Comment