April 28, 2014

KATIZO LA UMEME MKOA WA ILALA

Shirika la Umeme Tanzania  (TANESCO) linawataarifu Wateja wake wa Mkoa wa Ilala Kuwa Kutakuwa na Katizo la Umeme kama ifuatavyo:-
TAREHE NA MUDA
SABABU
MAENEO YATAKAYOATHIRIKA
Jumatano
30/04/14
3:00 Asubuhi – 12:00 Jioni
Kufunga vifaa cha umeme (Transformer, load breaker switch na auto reclosure) na kukata miti iliyo chini ya nyaya za umeme
Eneo lote la Ukonga, Gongolamboto, Mongolandege, Ulongoni yote,Majohe mji mpya, Kampala university, JWTZ Gongolamboto, Kipunguni B, Ukonga, mazizini, Magereza Ukonga, Ukonga madafu na maeneo yaliyokaribu na hayo
Jumamosi
03/05/2014
3:00 Asubuhi – 11:00 Jioni
Kuboresha, Kubadilisha Nguzo zilizooza na kukata Matawi ya Miti Kwenye njia ya Msongo Mkubwa wa Umeme
Hospitali ya Aghakhan , Maeneo ya mtaa wa Aghakhan, mtaa wa Sea view, Benki ya Baclays, Hoteli ya Serena, Jengo la PPF, Ofisi ya Posta, Wizara ya Mambo ya Ndani, Jengo la Exim, Mtaa wa Mirambo na maeneo ya jirani.
Jumamosi
03/05/14
3:00 Asubuhi – 12:00 Jioni
Kubadilisha nguzo zilizooza, Kufunga kifaa cha umeme (auto reclosure) na kukata miti iliyo chini ya nyaya za umeme
Kitunda, Kivule, Mwanagati, Kibeberu, Nyantira, Magore na maeneo yaliyokaribu na hayo
Kwa Matukio ya Dharura Tafadhali Piga 022 213 3330, 0784 768586, Ofisi ya Mkoa Ilala, (Call centre numbers) 022-2194400 au 0768 985 100
Uongozi unasikitika kwa usumbufu wowote utakaojitokeza.
Imetolewa na :   OFISI YA UHUSIANO,
    TANESCO – MAKAO MAKUU.

No comments:

Post a Comment