February 5, 2014

KATIZO LA UMEME MIKOA YA DODOMA NA ILALA

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linawataarifu wateja wake wa Mikoa ya Dodoma na Ilala  kuwa kutakuwa na katizo la umeme kama ifuatavyo:-
MKOA WA DODOMA:-
TAREHE:      08/02/2014; Jumamosi 
                    
SAA:   2:30 Asubuhi - 11:30 Jioni
SABABU:  Kufanya ukarabati kwenye njia kuu ya umeme ya msongo wa kilovolt 33 ya dodoma mjini.
MAENEO YATAKAYOATHIRIKA:
Chang’ombe, Chinangali, Chamwino, area A, area C, Airport, Uhindini.
Hospitali ya Mkoa, Jamatini, Uzunguni, Imagi hill, Makulu, Kilimani, Isanga, Hospitali ya Milembe.  CBE, Makole, VETA, Ofisi za Bunge, Chadulu, Swaswa, Kisasa, area D Martin Luther, Ipagala na maeneo yote yanayozunguka.


MKOA WA ILALA:-
TAREHE:  Jumamosi, 08/02/14
                         
MUDA: 04:00 Asubuhi – 09:00 Alasiri.
SABABU:     Kumuunganisha  Mteja mpya Kwenye Njia Kuu ya Umeme.
                      
MAENEO YATAKAYOATHIRIKA:
Maeneo yote ya Tabata, Ubungo Darajani, Makoka, Maeneo yote ya Mbezi na Baadhi ya maeneo ya Kimara, Maeneo ya Karakata kwa Mbaga/Bi Esta, kwa Bukuru na maeneo mengine yote yanayopata huduma ya umeme kutoka katika njia hii kubwa ya umeme ya Segerea na Ubungo.
Tafadhali usishike waya uliokatika toa taarifa kupitia simu zifuatazo: Ofisi za dharura Dodoma  026 2321728, 0732961270, 0732961274. 022 213 3330, 0784 768586,Ofisi za dharura Ilala, 0684 00 10 68 Ofisi za dharura  Tabata na 0684 001066 Ofisi za dharura viwanda. (Call centre numbers) 022-2194400 au 0768 985 100
Uongozi unasikitika kwa usumbufu wowote utakaojitokeza
Imetolewa na: OFISI YA UHUSIANO,
TANESCO – MAKAO MAKUU.                 

No comments:

Post a Comment