July 4, 2014

KATIZO LA UMEME – MKOA WA KINONDONI KASKAZINI



Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linawatarifu wateja wake wa Mkoa wa Kinondoni Kaskazini kuwa kutakuwa na katizo la umeme siku ya JUMATANO tarehe 09/07/2014 na ALHAMISI tarehe 10/07/2014 kuanzia saa 3:00 asubuhi hadi 11:00 jioni.  Sababu ni matengenezo ya dhalula katika njia kubwa ya Umeme.

MAENEO YATAKAYOATHIRIKA NI:-
Tarehe 09/07/14
 Kiwanda cha  Magodoro Dodoma, Kays Hygine products, Cocacola Kwanza ,BIDCO, Soza plastics, Quality plastics.

Tarehe 10/07/14
Mbezi Tangi bovu, Mbezi Lyagunga, Mbezi Zawadi, Shoko, Mwenge, St. Peters, Don Bosco, Ubalozi wa Indonesia; Uwanja wa Farasi,  Josho la mbwa,  Ubalozi wa  Nigeria ,baadhi ya Maeneo Msasani, Century hotel.

Tafadhali usishike wala kukanyaga waya uliokatika au kuanguka.

Uongozi unasikitika kwa usumbufu wowote utakaojitokeza.



Imetolewa na:-         OFISI YA UHUSIANO,
                                    TANESCO – MAKAO MAKUU.
 

No comments:

Post a Comment