September 23, 2013

MKOA WA TEMEKE

TAARIFA YA KATIZO LA UMEME
Shirika la Umeme Tanzania TANESCO linasikitika kuwaarifu wateja wake wa Mkoa wa Temeke kuwa kutakuwa na katizo la umeme kama ifuatavyo:-
TAREHE: Jumatano 25/09/2013
MUDA:Saa 3:00Asubuhi – 12:00jioni
SABABU:KufungaTransfoma mpya na kubadilisha nguzo zilizooza
MAENEO YATAKAYOATHIRIKA:
YomboBuza, Yombo Makangarawe,Lumo,Kwalulenge,YomboSigara,Mwishowa Lami, Yombo Vituka,Part of Tandika,MtoniMashineyaMaji No.5 na maeneo ya jirani.
Tafadhaliusishikewayauliokatika, toataarifakupitiaDawati la dharura Mkoa wa Temeke:-
0222138352, 0732 997361, 0712 052720, au Kituo cha miitoyasimu 022 2194400 /
0768 985 100
Uongozi unasikitikakwausumbufuwowoteutakaojitokeza
Imetolewa na : 
                           Ofisi Ya Uhusiano
                           Tanesco-Makao Makao

No comments:

Post a Comment