October 24, 2013

TAARIFA YA KATIZO LA UMEME MKOA WA PWANI



Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linasikitika kuwataarifu wateja wake wa Mkoa wa Pwani  kuwa kutakuwa na katizo la umeme siku ya JUMAMOSI tarehe 26/10/2013 kuanzia saa 4:00 Asubuhi hadi saa 11:00 Jioni.  Sababu ni kufanya matengenezo, kubomoa spar laini na kubadilisha nguzo zilizooza katika laini ya msongo wa 33Kv, Mkuranga.

MAENEO YATAKAYOATHIRIKA:
Vikindu, Kisemvule, Mkuranga

Tafadhali usishike waya uliokatika toa taarifa kupitia simu zifuatazo: 0657 108782 au Kituo cha kupokelea miito ya simu namba 2194400 au 0768 985 100

Uongozi unasikitika Kwa usumbufu wowote utakaojitokeza


Imetolewa na:-         OFISI YA UHUSIANO,
                                    TANESCO – MAKAO MAKUU.
                  

No comments:

Post a Comment