October 24, 2013

Tanesco yatoa ushauri kwa mashirika makubwa juu ya matumizi bora ya umeme

 Kaimu Mkurugenzi mtendaji wa Tanesco Mhandisi Sophia Mgonja akifungua mjadala na wawakilishi wa makampuni makubwa juu ya utumiaji bora wa umeme.






Mwakilishi wa  idara ya mfumo wa uthibiti umeme Mhandisi Issa Abubakar akielezea jinsi ya utumiaji bora wa nishati inayo patikana.



Mwakilishi wa LIBRA (T) LTD Mhandisi Sylvester Mkaka akiongelea juu ya kifaa ambacho kinatumika kuthibiti matumizi ya umeme. 





Mshiriki akitoa ushauri katika sekta ya umeme kuwe na ufuatiliaji mzuri.



 



Mshiriki akichangia maada kwa kueleza sekta ya viwanda inahitaji kuwa na umeme wa kuaminika ili kuongeza uzalishaji wa bidhaa.




Mwakilishi kutoka wizara ya nishati na madini Mhandisi Styden Rwebangila akijibu maswali ya kutoka kwa waandishi juu ya changamoto za kitalaam zinazo patikana juu ya matumizi bora ya nishati ikiwa ni pamoja na ukosekanaji wa uelewa kwa wateja.


 

Kaimu Mkurugenzi mtendaji wa Tanesco Mhandisi Sophia Mgonja akijibu maswali ya kutoka kwa waandishi juu ya utumiaji bora wa umeme bila kuathiri uzalishaji wa bidhaa.

No comments:

Post a Comment