October 29, 2013

TAARIFA YA KATIZO LA UMEME MKOA WA TEMEKE



Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linasikitika kuwaarifu wateja wake wa Mkoa wa Temeke kuwa, kutakuwa na katizo la umeme kama ifuatavyo:-

TAREHE:      Jumatano   30/10/ 2013     

MUDA:           03:00 Asubuhi – 11:00 jioni

SABABU:      Kufanya ukarabati kwenye laini ya umeme.

MAENEO YATAKAYOATHIRIKA:
Mkuranga, Mtoni kwa Azizi Ally, Mtoni Sabasaba, Mtaa wa Wandengereko, Mtoni kwa Kidandasi, Achimwene, Mkunguni, Mbagala Mission, Container Terminal, Chuo cha Uhasibu,  Charambe, Majimatitu, Kimbangulile, Chamanzi, Mbande, Msongola, Saku, Maeneo ya viwanda, Kiburugwa, Kingungi, Nzasa, Kilungule, Kizuiani, Kwa Manganya, Sabasaba, Bugudadi, Mtoni Kizinga, Kibondemaji, Dar Cement, Mbagala Jeshini, Kijichi, Mbagala kuu, Mission KTM, Miande na maeneo ya jirani.

Tafadhali usishike waya uliokatika, toa taarifa kupitia Dawati la dharura Mkoa wa Temeke:- 0222138352, 0732 997361, 0712 052720, au Kituo cha miito ya simu 022 2194400 /0768 985 100

Uongozi unasikitika kwa usumbufu wowote utakaojitokeza


Imetolewa na:          OFISI YA UHUSIANO,
                                    TANESCO – MAKAO MAKUU.
 

No comments:

Post a Comment